2010年10月27日水曜日

Ninamiss Africa

Baada ya kurudi Japani, kila siku ninawakumbuka watanzania na maisha ya kule
kwa sababu maisha haya ndiyo ni miwaka 2 ya tanzania ni kubwa sana kwa mimi.
Sasa imeshapita mwaka 1 na nusu, ila siku hizi tena nimeanza kumbuka
kwa sababu sasa ninafanyna kazi kuhusu activiti ya tanzania
naangalia picha zangu na ripoti mbalimbali.

Katika wakati huo, nilikuwa siwezi kufanya kazi nyingi
watu walikwa na mimi walinisaidia kazi na walinifurahisha, walinipa raha.
nikajifunza mwenyewe ila nilipenda kufanya kazi nyingi zaidi na kuwasaidia hata kitu kimoja tu.
Kwa hiyo siku hizi tena nina roho ya kwenda tanzania na kufanya kazi.

Siku moja nitaenda huko tena, na nawasalimia wao, familia ya marafiki zangu.

Namomba mungu awape afya na maisha nzuri.

2010年5月7日金曜日

Mvua/Rain

Habari za leo?

Kutoka jana, hapa Okinawa,
kipindi cha mvua kimeanza.
Hata sasa mvua imenyesha...

Huko unapokaa hewa inakuwaje?

-------------------------------------

Hello, everyone.

Since yesterday rainy season has started in Okinawa.
Now, it's raining...

How's the weather in your place?

2010年4月20日火曜日

Sababu/Reason

Shikamooni mabibi na mabwana.
Habari zenu rafiki zangu?

Siku hizi hari ya hewa ya okinawa hapa ninapokaa
inabadirika kila siku.
Jana kulikuwa na joto sana, lakini leo kuna mvua na baridi.
Kwa hiyo kila asubuhi ninaangaika "leo ninavaa nguo gani?".

Leo napenda kuwaanbia kwa nini ninaandika blog kwa kiswahili.

kwa sababu...

Mwaka ya 2007, nilienda Tanzania kwa volunteer.
Nilifanya kazi ya UKIMWI katika manispaa
pamoja na maofisa ya manispaa na watu wa asasi.
Nilikaa miaka miwili kwenye jamii ya uswahilini.
Nilienda kazi asubuhi na nilitembea mahali mbalimbali siku nzima.
Nilikaa mjapani mmoja yaani mimi tu katika kata hiyo.
Kwa hiyo nilijifunza kiswahili, na nilipata lugha hiyo kidogo kidogo.

Kiswahili ni siyo gumu sana kwa kutamuka.
Na ninapenda watanzania, nilitaka kuwasiliana nao.

Hivyo...

Mpaka sasa nipo Japani, naweza kutumia kiswahili.
Ila nimeshaanza kusahau kidogo kidogo, kwa hiyo natumia kwenye blog hii.


Napenda kukupendekeza upate lugha hiyo!
Utaweza kuongea na watanzania na mimi :-)

2010年4月1日木曜日

Kwa kwanza / At first

Shikamooni mabibi na mabwana.
Mambo vipi, rafiki zangu?

Ninaanza kazi hapa MTEC kutoka leo.
Ndiyo leo ni tarehe 1 mwezi wa 4, "siku ya kusema uongo"!!
Ila sasa sitaki kusema uongo, kweli ninaanza kazi npya hapa MTEC :)
Nimefurahi sana kwa kufanya kazi ofici ya MTEC.

Na nimeamua kuanza blog hii kutoka leo.
Naandika kwa kiswahili na kiingeleza.
Katika blog hii, napenda kujitolea kwamba kazi zangu, uhai wangu na kadhalika.
Na napenda kuwasiliana na nyie ndio mnasoma blog hii!
Kama ukidhani kitu flani baada ya kusoma blog hii,
naomba uandike some comments.
Ukae kama upo nyumbani kwako!
Asante sana kwa kuja hapa blog yangu :-)


Hi dear! How are you doing?

I've started to work at MTEC office from today.
Yes, today is April 1st, April Fool!!
But I don't tell a lie. Really I work here!
I'm happy to work at the office :)

And I start to write blog from today.
I write articles in English and Swahili language (spoken in some african countries).
In this blog, I'd like to introduce about my job, my life nad so on.
I want to communicate with you who visit this blog.
So when you have some comments or opinion, please write and tell me.
Feel free like your home!
Thank you very much for coming here :)